Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

NAMNA YA KUTUMIA WI-FI YAKO KUTOKA KWENYE TARAKILISHI (KOMPYUTA)

UTANGULIZI: Habari ndugu wasomaji, leo ntawafundisha namna yakutengeneza Wi-Fi (wireless fidelity) kutoka kwenye tarakilishi mpakato au ya kwenye desk: MAHITAJI: 1.  TARAKILISHI (KOMPYUTA) YA MEZANI(DESKTOP) AU MPAKATO YENYE WIRELESS CARD (KADI YA WIFI) AU YENYE UWEZO WAKUDAKA WIRELESS AU BLUETOOTH 2. UJUZI WA KAWAIDA WA KUTUMIA TARAKILISHI  HATUA YA KWANZA: Unahitajika kua na uwezo wakuunganisha intanet kwenye kompyuta yako kama utatumia modem au utatumia wireless(Wi-Fi) kutoka kwenye eneo ambalo tarakilishi yako imeunganishwa. intanet ya WiFi (kwenye duara jeusi) HATUA YA PILI: Tutatakiwa kushusha (download) Baidu "wifi share app" kutoka kwenye tovuti ya PC FASTER nimekuwekea link hapa uishushe haraka   shusha baidu moja kwa mojahapa    au unaweza tembelea tovuti yako hapa  shusha program yako ya Baidu kwenye tarakilishi yako( kwenye picha ninatumia program ya IDM kushusha BAIDU kwa haraka ) Simika ( install
Machapisho ya hivi karibuni

HIZI NDIO NJIA BORA ZA KUFANIKIWA KIMASOMO

Je umekua ukisoma sana nyakati za karibia na mitihani na bado matokeo ni finyu ukiringanisha na wakati unaotumia, bila kusahau kukesha usiku kucha? soma zaidi upate siri ya kufanikiwa katika masomo yako katika ngazi tofauti tofauti za elimu ikiwemo elimu ya chuo kikuu. masomo binafsi kwenye eneo tulivu KUSOMA MAANA YAKE NINI? Watu wengi hatujui kusoma maana yake nini,labda hufikiri kusoma ni wakati ule unaposhika daftari au kitabu au kitini kwaajili ya kusomea mtihani ambao unao kesho asubuhi. Lakini watafiti wanasema kusoma hua ni mchakato mpana zaidi ya apo. Kwa kifupi kusoma maana yake hua ni kuandika notsi kwa urefu(kutolea maana kila pointi ulioiandika), kuandika points,bila kusahau kuvisoma hivo ulivoviandika. NAMNA YAKUFANIKIWA KATIKA MCHAKATO WAKUSOMA: TAFUTA ENEO LA KIMYA: inaweza kua chumba tulivu kama hiki ambacho hakina usumbufu kabisa                    Watu wengi usoma popote bila kujali kama eneo hilo linafaa kwaajili ya kusoma masomo binafsi

VYOO VYA KUKAA VINAWEZA KUSABABISHA SARATANI

Habari za leo ndugu wasomaji wa blogu ya Sayansi Leo,katika makala hii ya leo tutazungumzia njia sahihi ya kujisaidia haja kubwa. Ndio njia sahihi yakujisaidia haja kubwa,linaweza onekana kua ni swala la ajabu au la utani lakini mabadiliko ya sayansi na teknolojia yamekuja na madhara pamoja na faida. kielelezo na.1 Kwakuanza tutatazamia juu ya njia ya asili ambayo binadamu anatakiwa kutumia iwapo ataenda haja kubwa..          Kwa mazoea, jamii nyingi za Afrika watu wake huchuchumaa waendapo haja kubwa. Katika miaka ya hivi karibuni baada ya mapinduzi ya viwanda uko katika nchi za magharibi kumeundwa vyoo vya kukaa. Vyoo hivi vimeonekana kua ni ishara ya maendeleo katika jamii za Wafrika ambao wengi walizoea vyoo vya shimo.. Vyoo hivi sio vyakwanza bali  ni muendelezo wa vyoo vya kigae vyakuchuchumaa vilivoiga mfano wa vyoo vya awali vya asili ambavo pia vilikua vyakuchuchumaa.  vyoo vya vigae vya kuchuchumaa viliboreshwa kwa kuwekewa mfumo wa kujisafisha endapo mtu atamaliza